MADARAJA MAKUBWA 17 YANAJENGWA NCHINI

 

MADARAJA  MAKUBWA 17 YANAJENGWA NCHINI

MADARAJA  MAKUBWA 17 YANAJENGWA NCHINI

TANZANIA
Serikali inatekeleza ujenzi wa madaraja makubwa 17 ambayo yapo katika hatua mbalimbali za ujenzi nchini.
Madaraja hayo ni  Mirumba, Pangani, Mbangala, Simiyu, Mbambe, Doma, Nzali, Chakwale, Nguyami, Suguta, Sukuma, Jangwani, Mwanjiri, Mkili, Kalebe, Kavuu, na Mitomoni.
Aidha, Madaraja makubwa saba (7) ya Mpiji Chini, Kibakwe, Kerema Maziwa, Sanza, Munguli na Godegode yako kwenye hatua mbalimbali za maandalizi ya kazi za ujenzi.