BIMKUBWA DKT SAMIA AWASILI KILIMANJARO

 

BIMKUBWA DKT SAMIA AWASILI KILIMANJARO

BIMKUBWA DKT SAMIA AWASILI KILIMANJARO 

KILIMANJARO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tayari ameshawasili mkoani Kilimanjaro kwa ajili ya kushiriki Mazishi ya aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Mzee Cleopa David Msuya  yatakayofanyika (Kesho) Mei 13,2025 Kijijini kwake Wilaya ya Mwanga.
Bimkubwa Tanzania tutakuletea matangazo ya Moja kwa Moja kutoka  hapa Mwanga Mkoani Kilimanjaro, tufuatilie kupitia mitandao yetu ya Kijamii Facebook, Instagram, X, TikTok, YouTube @BIMKUBWATANZANIA