TAZAMA HAPA:https://www.youtube.com/watch?v=IF7JoJacnKI
FAHAMU ZAIDI KUHUSU ZIARA YA DKT SAMIA MKOANI RUVUMA KUANZIA SEPTEMBA 23 HADI 28, 2024
Mhe Rais.Dkt Samia Suluhu Hassan atafanya ziara ya kikazi Mkoani Ruvuma yenye lengo la kukagua, na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa katika Mkoa huo.