DKT SAMIA AHUTUBIA KWENYE FOCAC

 

DKT SAMIA AHUTUBIA KWENYE FOCAC

DKT SAMIA AHUTUBIA KWENYE FOCAC 

BEIJING
Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan  leo Septemba 5, 2024 amehutubia Viongozi mbalimbali kwenye Mkutano wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) uliofanyika katika ukumbi wa The Great Hall of the People Jijini Beijing nchini China.
Kwa taarifa zaidi endelea kufuatilia  kwenye mitandao yetu ya kijamii @Bimkubwatanzania