TSH TRIL 1.15 KUONGEZA MIUNDOMBINU ELIMU

 

TSH TRIL 1.15 KUONGEZA MIUNDOMBINU ELIMU

TSH TRIL 1.15 KUONGEZA MIUNDOMBINU ELIMU

TANZANIA
Serikali imetenga shilingi Trillion 1.15 kwa ajili ya kujenga shule mpya za msingi na madarasa mapya kwa kipindi cha miaka 5 ambapo kwa mwaka wa fedha 2023/ 24 jumla ya Shule 302 za msingi na madarasa zaidi ya 3000 yamejengwa.