TSH MIL 360 KUJENGA DARAJA BUSEGA

 

TSH MIL 360 KUJENGA DARAJA BUSEGA

TSH MIL 360 KUJENGA DARAJA BUSEGA

SIMIYU
Katika Mwaka wa Fedha 2024/25, Serikali imetenga shilingi milioni 360 katika bajeti yake kwa ajili ya ujenzi wa daraja litakalounganisha Kijiji cha Lutubiga na Mwasamba wilayani Busega Mkoani Simiyu