MIRADI YA BRT 4 INAENDELEA KUTEKELEZWA

 

MIRADI YA BRT 4 INAENDELEA KUTEKELEZWA

MIRADI YA BRT 4 INAENDELEA KUTEKELEZWA

Serikali kupitia Wakala ya Barabara (TANROADS) inaendelea na ujenzi wa miundombinu ya mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam awamu ya Nne (BRT 4) kuanzia Daraja la Kijazi (Sam Nujoma) -Mwenge -Maktaba ya Taifa (Posta).