MANUNGU WAJENGEWA SHULE MPYA

 

MANUNGU WAJENGEWA SHULE MPYA

MANUNGU WAJENGEWA SHULE MPYA

Serikali imekamilisha ujenzi wa Shule Mpya ya Sekondari ya Manungu wilayani Kongwa Mkoani Dodoma kupitia mradi wa SEQUIP.
Ujenzi huo ambao umegharimu shilingi milioni 544.2 unaenda kupunguza adha ya wanafunzi kutembea takribani KM 8 kwenda shule.