TSH BIL 35 KUUNGANISHA TZ NA ZAMBIA

 

TSH BIL 35 KUUNGANISHA TZ NA ZAMBIA

TSH BIL 35 KUUNGANISHA TZ NA ZAMBIA

RUKWA
Zaidi ya shilingi billion 35 zimetolewa na serikali kwa ajili ya umaliziaji wa barabara kwa kiwango cha lami km 25 itakayo unganisha kati ya nchi ya Tanzania na Zambia  kuanzia kijiji cha Tatanda hadi mpaka wa Kasesya wilayani Kalambo mkoani Rukwa.
#SisiTupoRukwa