MIL 900 KUJENGA KITUO KIPYA CHA AFYA, MLOWO

 

MIL 900 KUJENGA KITUO KIPYA CHA AFYA, MLOWO

MIL 900 KUJENGA KITUO KIPYA CHA AFYA, MLOWO 

SONGWE
Serikali itapeleka shilingi Mil 900 katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi  Mkoani Songwe kwa ajili ujenzi wa Kituo cha Afya  Mlowo kitakachotoa huduma kama Hospitali ya Wilaya.
Ujenzi wa Kituo hiki utafanya  Idadi ya Vituo vya Afya katika Wilaya ya Mbozi kufikia 6 na Kituo hicho kitawekewa vifaa tiba vyote muhimu ambavyo vitawezesha upatikanaji wa huduma bora za Afya.