KARIBU NYUMBANI BIMKUBWA

 

KARIBU NYUMBANI BIMKUBWA

KARIBU NYUMBANI BIMKUBWA

DAR ES SALAAM
Mhe.Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amewasili nchini leo Juni 19 akitokea Afrika Kusini alikokwenda (jana) Juni 18 kwa ziara ya siku ya moja kwa ajili ya kuhudhuria uapisho wa Rais Wa nchi hiyo Mhe.Cyril Ramaphosa.

KARIBU NYUMBANI BIMKUBWA