BIMKUBWA AWASILI AFRIKA KUSINI

 

bimkubwa awasili south africa kusini

BIMKUBWA AWASILI AFRIKA KUSINI

AFRIKA KUSINI
Bimkubwa Dkt Samia Suluhu Hassan tayari amewasili katika uwanja wa ndege wa Waterkloof Pretoria Nchini Afrika Kusini kwa ajili ya kuhudhuria uapisho wa Rais mteule wa nchi hiyo Cyril Ramaphosa  utakaofanyika Juni 19, 2024.