TAZAMA HAPA:https://www.youtube.com/watch?v=dFXQmTnlgo4
MAKALA:MCHANGO WA RAIS SAMIA KWENYE UHURU WA VYOMBO VYA HABARI NCHINI
Kila Ifikapo Tarehe 3 Mei Ulimwengu Unaadhimisha Siku Ya Uhuru Wa Vyombo Vya Habari
Licha ya maendeleo makubwa yaliyopatikana katika kipindi cha uongozi wa Dkt Samia, kumekuwa na mchango mkubwa wa uhuru wa vyombo vya habari nchini Tanzania, kwa undani zaidi fuatilia makala hii kupitia akaunti ya youtube ya Bimkubwa Tanzania.
