KILOVITI 400 KUTOKA JNHPP ZIMEFIKISHWA CHALINZE

 

KILOVITI 400 KUTOKA JNHPP ZIMEFIKISHWA CHALINZE

KILOVITI 400 KUTOKA JNHPP ZIMEFIKISHWA CHALINZE

PWANI
Mradi wa Kusafirisha Umeme kutoka Julius Nyerere Hydro Power Plant hadi Chalinze – Kilovoti 400 na Kituo cha Kupoza Umeme, Chalinze umefikia 99.5% na njia hiyo imeanza kutumika kusafirisha umeme.
Aidha, kituo kipya cha kupoza umeme cha Chalinze cha Kilovoti 400/220/132 kimekamilika kwa asilimia 93.1 na kimeanza kutumika kuingiza umeme katika Gridi ya Taifa ambapo Kazi zilizobaki zinatarajiwa kukamilika ifikapo Juni, 2024.