MIUNDOMBINU YA MAJI YABORESHWA TEMEKE

 

MIUNDOMBINU YA MAJI YABORESHWA TEMEKE

MIUNDOMBINU YA MAJI YABORESHWA TEMEKE

TEMEKE
Serikali kupitia Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) Wilaya ya Temeke Jijini Dar es salaam inafanya maboresho ya miundombinu ya maji katika eneo la TCC Sigara  kwa kubadilisha miundombinu chakavu katika laini ya inchi 6 kwa lengo la kuongeza msukumo wa maji ili kuboresha huduma ya Maji  kwa wakazi wa maeneo hayo.