TUNAWATAKIA HERI KATIKA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

 

TUNAWATAKIA HERI KATIKA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

TUNAWATAKIA HERI KATIKA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Katika siku hii  ya wanawake Duniani,(Machi 8) BimkubwaTanzania tunapenda kuwatakia heri wanawake wote ulimwenguni,
Tunathamini na kutambua mchango wenu mkubwa katika kuleta ustawi wa kiuchumi, kisiasa,kimaendeleo na kijamii.
#HappyInternationalwomen'sday