TSH BIL 3.5 ZAPANUA KITUO CHA KUENDELEZA UKUZAJI VIUMBE MAJI MOROGORO

 

TSH BIL 3.5 ZAPANUA KITUO CHA KUENDELEZA UKUZAJI  VIUMBE MAJI MOROGORO

TSH BIL 3.5 ZAPANUA KITUO CHA KUENDELEZA UKUZAJI  VIUMBE MAJI

MOROGORO

Serikali ya awamu ya sita imetoa kiasi cha fedha zaidi ya Shilingi bilioni 3.5 kwa ajili ya kupanua uwekezaji katika Kituo cha Kuendeleza Ukuzaji  Viumbe Maji  kilichopo Kingolwira  mkoani Morogoro ili kiongeze  uzalishaji wa vifaranga vya samaki hadi kufikia milioni moja kwa mwezi kutoka vifaranga 100,000.Chanzo:- KAMATI ya kudumu ya Bunge ya Utawala , Katiba na Sheria, ilipotembelea kwenye kituo hicho kilichopo katika Manispaa ya Morogoro.