TZ, UHOLANZI, CHINA KUSHIRIKIANA MAZAO YA MBOGAMBOGA

 

TZ, UHOLANZI, CHINA KUSHIRIKIANA MAZAO YA MBOGAMBOGA

TZ, UHOLANZI, CHINA KUSHIRIKIANA MAZAO YA MBOGAMBOGA

ARUSHA
Serikali ya Tanzania, China na Uholanzi zitaendelea kushirikiana kukiendeleza Kituo cha Taasisi ya Utafiti na Uendelezaji wa Mazao ya Mbogamboga Duniani cha (World Vegetable Centre) ili kukidhi mahitaji ya wakulima.
Chanzo:-  wizara ya kilimo, kwenye uzinduzi wa  Benki ya Afrika ya vinasaba ya mbegu za mboga za asili katika kituo cha Worldveg kilichopo Tengeru mkoani Arusha 
Hadi sasa benki hiyo inahifadhi aina 5,000 za mbegu  huku lengo likiwa kufikia  aina 15,000 ifikapo mwaka 2025/26 ya mbegu zinazopaswa kuhifadhiwa katika benki, ikiwa msingi wa kituo hicho ni kwa ajili ya wakulima duniani na sio Afrika pekee 
Aidha Benki ya Vinasaba vya mbegu Afrika ni benki pekee Afrika nha pili Kidunia kwa uhifadhi wa mbegu za asili za mboga mboga kwa maslahi ya wakulima.