TSH BIL 132.016 KUWAVUSHA MOROGORO

 

TSH BIL 132.016 KUWAVUSHA MOROGORO

TSH BIL 132.016 KUWAVUSHA MOROGORO

MOROGORO
Serikali ya awamu ya sita kupitia TANROADS imesaini mkataba wa Ujenzi wa barabara ya Bigwa – Kisaki; sehemu ya Bigwa –Mvuha, km 78; ambao una thamani ya shilingi bilioni 132.016.
Mkataba huo umesainiwa Februari 2024, na Mkandarasi M/s China railways 15 Bureau Group Corporation ya China atatekeleza mradi huo kwa muda wa miezi 27 kuanzia Februari 2024.