DKT SAMIA KWENYE UFUNGUZI WA MKUTANO WA MAWAZIRI WA SHERIA WA NCHI WANACHAMA WA JUMUIYA YA MADOLA
ZANZIBAR
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (leo) Machi 4,2024 amehutubia kwenye ufunguzi wa Mkutano wa Mawaziri wa Sheria wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola uliofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip, Zanzibar
Mkutano huo unahusisha mawaziri wa sheria, viongozi, wajumbe takribani 300 katika nchi 56, na unafanyika kwa siku tano kuanzia Machi 4 hadi 8,2024
