TSH BIL 429 KWENYE MIRADI YA MAJI

 

TSH BIL 429 KWENYE MIRADI YA MAJI

TSH BIL 429 KWENYE MIRADI YA MAJI

KIGOMA
Kwa kipindi cha miaka mitatu cha uongozi wa Dkt Samia Suluhu Hassan mkoa wa Kigoma umepokea kiasi cha shilingi  bilioni 429 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maji.