TSH BIL 208 KUJENGA SHULE MPYA ZA SEKONDARI

tsh bil 208 kujenga shule mpya za sekondary


TSH BIL 208 KUJENGA SHULE MPYA ZA SEKONDARI

DAR ES SALAAM
Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa zaidi ya sh. bilioni 208  ili zitumike kujenga  shule mpya za sekondari kwenye Halmashauri zote 184 nchini.Kila Halmashauri imepatiwa kiasi cha shilingi milioni 570 hadi milioni 600  kwa ajili ya ujenzi wa shule hizo mpya za sekondari.