TSH BIL 41 ZAIMARISHA HUDUMA YA MAJI MBULU

 

TSH BIL 41 ZAIMARISHA HUDUMA YA MAJI MBULU

TSH BIL 41 ZAIMARISHA HUDUMA YA MAJI MBULU

MANYARA

Kwa kipindi cha miaka mitatu  serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imepeleka kiasi  cha shilingi bilioni 41 katika wilaya ya Mbulu Mkoani Manyara, fedha ambazo tangu wilaya hiyo ianzishwe hazikuwahi kuzipata kwa kipindi kifupi na mfululizo.