TSH BIL 3 YAJENGA SHULE MAALUM YA WASICHANA NSIMBO

 

Serikali inatarajia kutumia zaidi ya shilingi bilioni 899 kufundisha na kuwalipa posho ya kila mwezi wahudumu wa afya ngazi ya jamii wapatao laki 1

TSH BIL 3 YAJENGA SHULE MAALUM YA WASICHANA NSIMBO

KATAVI
Serikali imeidhinisha kiasi cha shilingi bilioni 3 kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa Shule maalumu ya Wasichana katika  Halmashauri ya Nsimbo mkoa wa Katavi.