RAIS DKT SAMIA KATIKA SHEREHE YA MWAKA MPYA 2024 KWA MABALOZI

 

RAIS DKT SAMIA KATIKA SHEREHE YA MWAKA MPYA 2024 KWA MABALOZI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Sherehe za mwaka Mpya 2024 (Diplomatic Sherry Party) kwa Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini pamoja na wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa kwa ajili ya kusherehekea katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 07 Februari, 2023.