SERIKALI YATOA TSH BIL 99.3 KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO GEITA

 

SERIKALI YATOA TSH BIL 99.3 KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO GEITA

SERIKALI YATOA TSH BIL 99.3 KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO GEITA

GEITA
Serikali ya awamu ya sita  chini ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa zaidi ya bilioni 99.3 kwa mkoa wa Geita kwa lengo la kuendelea kutekeleza miundombinu mbalimbali  ya kimaendeleo kwa lengo la kusogeza huduma za msingi kwa Wananchi katika sekta ya Afya , Elimu, maji na miundombinu ya Barabara.