DKT SAMIA AWASILI INDONESIA.

 

samia awasili indonesia

DKT SAMIA AWASILI INDONESIA.

TANGERANG
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Soekarno-Hatta, Tangerang kwa ajili ya ziara ya Kitaifa nchini Indonesia inayoanza (leo) Januari 24 hadi 26, 2024.
#Ungana nasi kwa Taarifa zaidi.