HERI YA SIKU YA KUZALIWA BI MKUBWAAsante kwa kuyagusa maisha yetu katika utumishi wako kama Rais wa Nchi yetu,Kwa sababu yako, tunaweza kujivunia kila iitwayo leo, Tunakutakia furaha na afya njema Bimkubwa katika siku yako ya kuzaliwa.