HATUA ZILIZOPIGWA KWA MIAKA MINNE YA MHE. RAIS SAMIA KWENYE WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

 

HATUA ZILIZOPIGWA KWAMIAKA MINNE YA MHE. RAIS SAMIA KWENYE WIZARA YA NDANI YA MAMBO YA NCHI

HATUA ZILIZOPIGWA KWAMIAKA MINNE YA MHE. RAIS SAMIA KWENYE WIZARA YA NDANI YA MAMBO YA NCHI

UTEKELEZAJI WA MIJI SALAMA (SAFER CITIES)

 Mradi umeanza kutekelezwa 2024/25 Arusha,Dar es Salaam, Dodoma na Mwanza 
ambapo kamera 6500 za Teknologia ya Akili Bandia zitafungwa katika maeneo mbalimbali

UIMARISHAJI MATUMIZI YA TEHAMA 

Serikali katika kipindi cha miaka minne imeendelea kuimarisha matumizi ya TEHAMA katika utoaji haki kwa kuimarisha mifumo ya kielektroniki ya usikilizaji wa mashauri, utunzaji wa kumbukumbu, ukusanyaji wa takwimu na utoaji wa taarifa za kimahakama unaofahamika kama JUDICIAL STATISTICAL DASHBORD SYSTEM pamoja na matumizi ya Video Conference katika 
kuendesha mashauri ya usuluhishi ya kimataifa na hata baadhi ya mashauri ya ndani.

 Aidha, Mahakama imeanza majaribio ya matumizi ya teknolojia ya akili mnemba ya kunakili na kutafsiri lugha ya mawasiliano wakati wa mwenendo wa usikilizwaji wa mashauri  mahakamani.

#bimkubwanamamboyandanikazini