HATUA ZILIZOPIGWA KWA MIAKA MINNE YA MHE. RAIS SAMIA KWENYE WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

 

HATUA ZILIZOPIGWA KWA MIAKA MINNE YA MHE. RAIS SAMIA  KWENYE WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

HATUA ZILIZOPIGWA KWA MIAKA MINNE YA MHE. RAIS SAMIA  KWENYE WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

KUPUNGUZA IDADI YA  MAKOSA MAKUBWA YA JINAI

Serikali imefanikiwa kupunguza idadi ya makosa makubwa ya jinai yaliyoripotiwa katika vituo vya Polisi kutoka 45,485 hadi 43,146 

b. KUUNGANISHA VITUO VYA POLISI  NA MKONGO WA TAIFA HADI KUSOMANA

Serikali imefanikisha kusomana mfumo wa kielektroniki wa ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka na Mahakama na Vituo vikuu vya Polisi katika mikoa 23 vilivyo unganishwa na Mkongo wa Taifa

c. KUPUNGUZA MLUNDIKANO WA WAFUNGWA NA MAHABUSU MAGEREZANI

 Pamoja na mambo mengine, serikali ya awamu ya sita imefanikiwa kupunguza mlundakano wa Wafungwa na mahabusu  waliokuwa magerezani kutoka  wafungwa 38,501 mwaka 2019/2020 hadi  27,461 mwaka 2024


d. KUTEKELEZA MPANGO WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA MAGEREZANI

Katika kipindi cha uongozi wa Mhe Rais Dkt Samia, serikali kupitia Jeshi la Magereza limetekeleza programu ya matumizi ya Nishati safi ya kupikia ya Miaka 3 ambapo kiasi cha  Shilingi Bilioni 35.44  kinatumika kwenye mpango huo.


#bimkubwanamamboyandanikazini