DKT SAMIA KUAZA ZIARA JIJINI MWANZA JANUARI 29.

 

DKT SAMIA KUAZA ZIARA JIJINI MWANZA JANUARI 29.

DKT SAMIA KUAZA ZIARA JIJINI MWANZA JANUARI 29

Mhe Rais Dkt  Samia Suluhu Hassan anatarajiwa  kuanza ziara ya kikazi mkoai Mwanza kuanzia Januari 29, 2024.kupamba ugawaji wa vifaa vya uvuvi kwa wavuvi na vikundi vya wavuvi katika mikoa ya Kanda ya Ziwa.
Taarifa kutoka ofisi ya mkuu wa Mkoa  wa Mwanza inasema Dkt Samia atawasili katika uwanja wa ndege  wa Mwanza siku ya Jumatatu januari 29, na jumanne tarehe 30  atasambaza zana za uvuvi katika hafla itakayofanyika kwenye Uwanja wa Nyamagana.