MEGAWATI 2,115 ZA JNHPP ZAUNGANISHWA GRIDI YA TAIFA

 

MEGAWATI 2,115  ZA JNHPP  ZAUNGANISHWA GRIDI YA TAIFA

MEGAWATI 2,115  ZA JNHPP  ZAUNGANISHWA GRIDI YA TAIFA

TANZANIA
Hadi Machi 2025, megawati 2,115 kutoka mradi  wa Kufua Umeme wa Bwawa la Mwalimu Julius Nyerere (JNHPP) zimeunganishwa kwenye gridi ya taifa na kuongeza kiwango cha umeme kufikia megawati 4,031.7.
Zingatia:- mradi wa kuzalisha umeme wa Julius Nyerere  umegharimu shilingi trilioni 6.6 na Ujenzi wa mradi huo una uwezo wa kuzalisha umeme wa megawati 2,115 kwa siku 
MUHIMU:- mwelekeo wa Serikali katika sekta ya nishati kwa mwaka 2025/2026,ni kutekeleza miradi ya uzalishaji, usafirishaji na usambazaji wa umeme; mradi wa kupeleka nishati ya umeme katika vitongoji vyote Tanzania Bara na miradi ya kielelezo na kimkakati ya mafuta na gesi asilia.
Vilevile, Serikali itaendelea kuimarisha matumizi ya nishati safi ya kupikia pamoja na upatikanaji wa nishati ya mafuta vijijini kupitia uanzishwaji wa vituo vya mafuta katika maeneo ya vijijini.