MUUNGANO UNAZINGATIA MISINGI YA UTAWALA BORA

 

MUUNGANO UNAZINGATIA MISINGI YA UTAWALA BORA

MUUNGANO UNAZINGATIA MISINGI YA UTAWALA BORA

DODOMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema Muungano wetu unaendelea kuzingatia  misingi  yautawala bora katika nyanja mbalimbali ikiwemo utawala wa kisheria,haki za binadamu uwazi, uwajibikaji na  maridhiano.
Rais Samia ametoa kauli hiyo April 25, 2025 Ikulu ya Chamwino  Mkoani Dodoma  wakati akilihutubia Taifa kupitia vyombo  vya habari ikiwa imebaki  siku moja kuelekea miaka 61 ya Muungano tarehe 26 April 2025.
Dkt Samia amesema"Muungano wetu unaendelea kuzingatia  misingi  yautawala bora katika nyanja mbalimbali ikiwemo utawala wa kisheria,haki za binadamu uwazi, uwajibikaji na  maridhiano"
MIAKA61YAMUUNGANO