TSH BIL 114+ KUJENGA BARABARA NA MADARAJA LINDI

 

TSH BIL 114+  KUJENGA BARABARA NA MADARAJA LINDI

TSH BIL 114+  KUJENGA BARABARA NA MADARAJA LINDI

LINDI
Serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe.Rais  Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa kiasi cha Zaidi ya shilingi bilioni 114 kwa ajili ya ujenzi wa miradi 13 ya barabara na madaraja mkoani Lindi.
Miradi hiyo inatekelezwa na mkandarasi China Henan anayejenga sehemu ya Somanga na Mkandarasi mzawa  Makapo anajenga daraja la Mikereng'ende ambalo limefikia asilimia 25 ya ujenzi.
Tunapatikana Instagram,Facebook,X, TikTok, YouTube:-BimkubwaTanzania.