VIJIJI 63 VYAFANYIWA MIPANGO YA MATUMIZI YA ARDHI CHAMWINO

 

VIJIJI 63 VYAFANYIWA MIPANGO YA MATUMIZI YA ARDHI CHAMWINO

VIJIJI 63 VYAFANYIWA MIPANGO YA MATUMIZI YA ARDHI CHAMWINO

DODOMA
Jumla ya vijiji 63 kati ya vijiji 73  vilivyopo kwenye wilaya ya Chamwino mkoa wa Dodoma vimefanyiwa mipango ya matumizi bora ya ardhi.
Aidha, vijiji 10 vilivyosalia viko katika mchakato wa kufanyiwa mipango ya matumizi bora ya ardhi katika wilaya hiyo ya Chamwino
Lengo la serikali kupitia wizara ya ardhi ni kuhakikisha mpaka kufikia Disemba, 2024 vijiji vyote wilaya ya Chamwino viwe vimefanyiwa mpango wa  matumizi bora ya ardhi na kutatua migogoro ya mipaka ya vijiji kwa kiwango kikubwa.