MIRADI YA MAJI 1,342 KUTEKELEZWA BAJETI 2024/25

 

MIRADI YA MAJI 1,342  KUTEKELEZWA BAJETI 2024/25

MIRADI YA MAJI 1,342  KUTEKELEZWA BAJETI 2024/25

TANZANIA
Serikali katika bajeti ya mwaka wa fedha  2024/25 imepanga kutekeleza miradi ya maji  1,342  (1,095  vijijini na 247 mijini) katika maeneo mbalimbali nchini.
Serikali inatekeleza Miradi hiyo ili kufikia malengo ya ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025 inayoitaka serikai kufikisha huduma ya majisafi na salama kwa asilimia 85 vijijini na 95 mijini ifikapo mwaka 2025/26.