DKT SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI MTYANGIMBOLE

 

DKT SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI MTYANGIMBOLE

DKT SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI MTYANGIMBOLE

RUVUMA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan leo septemba 24 ameweka jiwe la msingi  katika mradi wa maji wa Mtyangimbole uliopo wilayani Songea Mkoani Ruvuma.
Mradi huu ni miongoni mwa miradi 30  ya maji inayoendelea  kutekelezwa katika mkoa wa Ruvuma ambayo inagahrimu kiasi cha shilingi bilioni 58
Mradi wa maji wa Mtyangimbole utahudumia wananchi wapatao elfu 14 kutoka katika vijiji vitatu  vya Luhimba lukalangilo na Mtyangimbole vinavyopatikana katika jimbo la madaba Mkoani Ruvuma
Vilevile mwaka 2023/2024 mkoa wa Ruvuma umetekeleza miradi 24 amabyo tayari imekamilika na imegharimu takribani shilingi bilionin 25.