BARABARA MANGAMBA-MSIMBATI KUJENGWA

 

BARABARA MANGAMBA-MSIMBATI KUJENGWA

BARABARA MANGAMBA-MSIMBATI KUJENGWA

MTWARA
Serikali imekamilisha kusanifu  na inajiandaa kuanza ujenzi wa barabara ya Mang’amba – Msimbati (Km 35) na Madimba – Kilambo (Km 16) Zilizopo Mkoani Mtwara.  Barabara hizo zitajengwa kwa kiwango cha lami hatua itakayosaidia kuchochea zaidi kasi ya maendeleo na uchumi.