TSH MIL 636 ZAJENGA KITUO CHA AFYA KINYEREZI

 

TSH MIL 636 ZAJENGA KITUO CHA AFYA KINYEREZI

TSH MIL 636 ZAJENGA KITUO CHA AFYA KINYEREZI

Kiasi cha shilingi milioni 636 zimekamilisha ujenzi wa Kituo cha Afya Cha Kinyerezi kilichopo  Ilala jijini Dar es Salaam   ambacho kina Jumla ya Majengo Matatu ya Kisasa kwa ajili ya kutoa huduma za Afya.
Majengo hayo ni Jengo la Wagonjwa wa Nje (OPD), Jengo la Wazazi na Jengo la Upasuaji 
Sasa Wakazi wa Maeneo Ya Kinyerezi na Maeneo Jirani hawapati tena usumbufu  wa kusafiri umbali mrefu kupata huduma bora za Afya kwakuwa  zimeshasogezwa karibu na Wananchi.