TSH BIL 9.68 ZAJENGA SOKO TARIME

 

TSH BIL 9.68 ZAJENGA SOKO TARIME

TSH BIL 9.68 ZAJENGA SOKO TARIME

Kiasi cha shilingi bilioni 9.68 kimetumika kukamilisha ujenzi wa soko la kisasa katika Halmashauri ya wilaya Tarime mkoani Mara.
Mradi huo wa soko una maduka 325, vizimba 160, mabucha matatu, migahawa miwili, supermarket moja na Benki mbili, ujenzi ulianza  19/1/2022 na kukamilika 2024.