TAA 932 ZIMEFUNGWA BARABARANI

 

TAA 932 ZIMEFUNGWA BARABARANI

TAA 932 ZIMEFUNGWA BARABARANI

KATAVI 
Katika kipindi cha uongozi wa Dkt Samia serikali mkoani Katavi imefanikiwa kufunga taa zipatazo 719 kwenye barabara mbalimbali zikiwa ni sawa na  77.15% na kufanya mkoa huo uwe na jumla ya taa 932 zenye thamani ya Shilingi Bilioni 2.