JOZI 3,028,700 ZA VIATU ZAZALISHWA NCHINI

 

JOZI 3,028,700 ZA VIATU ZAZALISHWA NCHINI

JOZI 3,028,700 ZA VIATU ZAZALISHWA NCHINI

TANZANIA
Katika mwaka 2023/2024 jumla ya jozi za viatu 3,028,700 zimezalishwa  nchini ikilinganishwa na jozi 2,927,500 zilizozalishwa mwaka 2022/2023. 
Ongezeko hilo limetokana na  kuongezeka kwa wajasiriamali wadogo na wa kati (SMEs) 151 wanaotengeneza bidhaa za ngozi pamoja na ongezeko la upatikanaji wa ngozi bora.