AIR FRANCE KUFANYA SAFARI MARA 3 NCHINI

 

AIR FRANCE KUFANYA SAFARI MARA 3 NCHINI

AIR FRANCE KUFANYA SAFARI MARA 3 NCHINI

UFARANSA
Shirika la ndege la Ufaransa (Air France) limepanga upya ratiba ya safari zake za kuja Tanzania kuanzia katikati ya mwezi  Novemba  2024 kwa  kutumia njia ya Parisi-Zanzibar –Kilimanjaro badala ya  Paris-Dar es salaam –Zanzibar kama ilivyokuwa hapo awali na kwa mujibu wa ratiba shirika hilo litarusha ndege mara 3 kwa wiki kuja nchini.