KONGAMANO LA BIASHARA TZ ,MALAWI KUFANYIKA DAR

 

KONGAMANO LA BIASHARA TZ ,MALAWI KUFANYIKA DAR

KONGAMANO LA BIASHARA TZ ,MALAWI KUFANYIKA DAR

DAR ES SALAAM
Tanzania na Malawi zinaandaa kongamano la kibiashara litakalofanyika Jijini Dar es salaam mwezi Mei mwaka huu 2024 lenye lengo la kuimarisha uhusiano uliopo kati ya nchi hizi mbili, pia kuboresha ushirikiano  katika sekta za Nishati, Utalii, Kilimo na Madini,kibiashara na uwekezaji