DKT SAMIA AKUTANA NA MAWAZIRI

 

DKT SAMIA AKUTANA NA  MAWAZIRI

DKT SAMIA AKUTANA NA  MAWAZIRI

DODOMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, leo April 25,2024 amekutana na mawaziri na kuongoza  Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.