DKT SAMIA AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA BI FATOU

 

DKT SAMIA AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA BI FATOU

DKT SAMIA AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA BI FATOU

DODOMA
Mhe Rais  Dkt Samia Suluhu Hassan leo April 23 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Rwanda Nchini Tanzania Bi. Fatou Harerimana Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma alipofika kwa ajili ya kuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi Tanzania tarehe 23 Aprili, 2024