DKT SAMIA NA WANAWAKE WA TAWIFA NA MIF

 

DKT SAMIA NA WANAWAKE  WA TAWIFA NA MIF

DKT SAMIA NA WANAWAKE  WA TAWIFA NA MIF

ZANZIBAR
Rais Samia Suluhu Hassan leo  Machi 14 ameshiriki  kwenye Tamasha  la uzinduzi lililoandaliwa na Wanawake Sekta ya Fedha  ( TAWIFA) kwa kushirikiana na Taasisi ya Mwanamke Initiatives (MIF) pamoja na TIRA.
Tamasha hilo limefanyika  katika hoteli ya Kwanza, Kizimkazi Zanzibar tarehe 14 Machi, 2024.