RAIS SAMIA MGENI RASMI MKUTANO WA MAWAZIRI WA SHERIA

 

rais samia mgeni rasmi

RAIS SAMIA MGENI RASMI MKUTANO WA MAWAZIRI WA SHERIA 

TAARIFA 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa  kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa Mkutano wa Mawaziri wa Sheria wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola unaotarajiwa kufanyika Machi 4 hadi 8, mwaka 2024 Zanzibar.