TSH MIL 540 ZAJENGA SHULE YA MSINGI MWABEBEYA

 

TSH MIL 540 ZAJENGA SHUKE YA MSINGI MWABEBEYA

TSH MIL 540 ZAJENGA SHUKE YA MSINGI MWABEBEYA

MWANZA
Serikali kupitia mradi wa kuimarisha elimu ya Awali na Msingi 2022/23 (BOOST) imeidhinisha kiasi cha milioni 540 kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya ya msingi Mwabebeya kwenye kijiji cha Nyang'hmango wilaya ya Misungwi Mkoani Mwanza.