THS BIL 5.4 ZAJENGA SHULE KATAVI

 

ujenzi wa shule katavi

THS BIL 5.4 ZAJENGA SHULE KATAVI

KATAVI
Serikali ya awamu ya sita chini ya Dkt Samia Suluhu Hassan  imetoa kiasi cha shilingi bilioni 5.4 katika Mkoa wa Katavi kwa lengo la kuboresha miundo mbinu ya elimu katika mkoa huo, Kiasi hicho cha fedha kimefanikisha ujenzi wa shule mpya 10.